DUDU WASHA-39
Mtunzi;Geofrey
Sefu aliporudi nyumbani alimkuta baba yake akiwa anataka kwenda kwenye
biashara zake,alipomsalimia tu,Mzee Pius akaanza kumweleza alichoambiwa
na Mwalimu Palanjo,alimweleza Sefu kila kitu ila kwa mtindo wa kumtetea
kwani kwenye akili yake alijua wazi Sefu hawezi kufanya hivyo,Sefu
alikana katukatu kuwa na tabia hiyo ya kufanya mapenzi na wanawake,tena
aliongeza kusema hajawahi kufanya mapenzi kabisa kitu ambacho Mzee Pisu
aliamini kabisa
Kumbe Sefu wakati akiwa anarudi ndio akapata
kuzisikia habari za Mwalimu Walda kuwa ameathirika na alikuwa anafanya
kuusambaza UKIMWI kwa kila mtu aliyelainika na kupita kwenye anga
zake,kiukweli Walda aliambukiza watu wengi sana,mtaa ulikosa amani kwani
kila aliyetembea na Walda alijihisi ana UKIMWI,pia hata ujio wa Mwalimu
Palanjo hapo nyumbani kabla hajafika yeye alishaambiwa,hivyo alitegemea
kuambiwa kile alichoambiwa na baba yake,na hiyo ndiyo sababu
iliyomfanya asishtuke alipopewa taarifa na baba yake za Mwalimu Walda
kuwa ana ugonjwa wa UKIMWI
Tukirudi kwa bwana Martini aliyemsaliti
mke wake kwa lengo la kupata mtoto alichokiamua baada ya mtoto wake
kufia tumboni,aliendelea kuwa na uhusiano na Halima kama mke wa nje,na
hatimaye Halima akashika ujauzito tena kwa mara ya pili,ikawa furaha
kubwa kwa Martini ambaye aliendelea kuhudumia kama mwanzoni kwa kila
kitu
Secilia na Didi waliendelea kufurahia mapenzi ambapo kutokuwepo
kwa Martini ndio ilikuwa furaha yao,kiukweli Martini alipunguza mapenzi
kabisa kwa mkewe Secilia na kuongeza kwa Halima kwasababu alimbebea
mimba yake,kitendo hicho kilimpa uhuru Secilia wa kufurahia mapenzi na
Didi mpaka akawa anahisi hana maumivu yeyote
Siku hiyo wakiwa
wamekaa nje ya nyumba kwa upande ambao kulikuwa na bwawa la kuogelea
(Swimming Pool),Secilia alikuwa amevaa Vesti na kibukta kifupi
kilichoonekana kama chupi,ambapo kwa jinsi alivyoonekana alivutia
kimahaba hasa,kwa upande wa Didi alikuwa kifua wazi huku chini akivalia
bukta ya jezi iliyomshika mapaja yake na kutompwaya
,,,yaani mtoto
wewe una dudu kubwa hatari kama mtu mzima vile,,,,aliongea hivyo Secilia
huku tayari mkono wake ukilishika dudu la Didi kwa kulibonyezabonyeza
kama anakagua embe lililoiva
,,,ujue nitapandisha hapa halafu
nitakusugua hapa hapa kwenye ngazi,,,aliongea hivyo Didi huku
akishtukashtuka kwa kwani mkono wa Secilia ulimpa msisimko
,,,twende tukaoge basi jamani,,,alipos
ema hivyo Secilia,alianzwa kutekenywa na Didi kwenye mbavu kitu
kilichomfanya akimbilie kuelekea kwenye bwawa la kuogelea huku
akicheka,hapo Didi naye akamfuata kwa nyuma akifanya kama anamkimbiza
Secilia alipoona Didi anamkaribia ili amkamate,alijirusha kwenye maji
na kuanza kuogelea,Didi akawa anajishauri kuingia ndani ya maji,Secilia
akiwa tayari ndani ya maji anaogelea,akawa anamwita kwa ishara ya mkono
Didi lakini Didi bado hakupata ujasiri wa kuingia humo,alikuwa ni mwoga
kweli
,,,hutaki kuja eeh,,?,ngoja uone,,,aliposema hivyo Secilia
ambaye maji yalimfikia kwenye mabega,aliivua vesti yake na kuziacha wazi
Chuchu zake zilichomoza kifuani,ile Vesti akaitupa nje ya bwawa
hilo,Didi alikuwa akimwangalia Secilia utundu wake ambapo kwa kiasi
Fulani alihamasika,,bado unajishauri eeh,,?,,safari hii aliposema
hivyo,alikivua kile kibukta na kukitupa nje ya bwawa pia,alimalizia na
bikini kabisa aliyoivaa,kisha kwa mbwembwe alipiga mbizi na kujipindua
ambapo makalio yake yalionekana juu
Baada ya Didi kuona hivyo naye
akajivua kibukta chake kisha akisogea mpaka kwenye kona palipokuwa n
angazi ya kushukia ndani ya maji,lakini kabla hajashuka aliketi kwanza
kwenye ngazi hizo,Secilia alimsogelea mpaka kwa karibu huku akiwa uchi
kabisa,akaanza kulishikashika dudu la Didi lililokuwa tayari limeshaanza
kupata msisimko,akaliingiza mdomoni na kuanza kulinyonya,alishuka chini
mpaka kwenye viazi mahaba na kuvishambulia kwa ulimi wake uliokuwa na
joto,,,aaah,,,a
aaah,,mmmmh,,,aaah,,,aaah,,ali
gugumia utamu Didi ambaye mikono yake ilishika mishikio ya ngazi hiyo ya kushukia kndani ya maji
Dudu la Didi liliposimama ngangali,hakutaka kusubiri aambiwe cha
kufanya,alimshukia Secilia ndani ya maji n akuanza kumchezea Chuchu zake
kwa kuzinyonya ambapo alikuwa anazinyonya kwa kuziachia kwani alikosa
pumzi ndani ya maji,alifanya hivyo huku dole lake likiwa linaingia
kwenye kitumbua cha Secilia na kukisugua kile kiarage
chake,,,aaahmmm,,mmmh,,aaaah,,
aaah,,,oooh,,aaah,,,alitoa miguno ya
kimahaba hivyo huku akipanua miguu yake na kikipa nafasi kidole cha Didi
kilichokuwa kinazam na kutoka huku kikimsugua hasa kiarage chake
Utamu wa kidole ulimzidi Secilia aliyekuwa kama anaugulia kidonda au
anakula muwa,kazi ya kidole ilifika kikomo baada ya kitumbua kuwa na
unyevu wa kutosha,hapo dudu la Didi lilianza kutumika ambapo kwa mkono
wa Secilia alilichukua na kujiingiza kwenye kitumbua
chake,,,mmmh,,,,hapo hapoooo,,,mmh,,,aliongea hivyo na kuguna pindi Dudu
la Didi lilipokuwa linazama taratibu kwenye kitumbua chake na jinsi
lilivyo kubwa basi lilimkuna kila kona na kumfanya ahisi msisimko wa
ajabu
Miguu ya Secilia ilimbana Didi nyuma ya mgongo wake huku
mikono yake ikimshikilia shingoni,ilikuwa ni kama Didi amembeba Secilia
japo Secilia aliweza kujibebesha bila kuanguka,naye Didi ili asichoke
mapema,alimpeleka Secilia mpaka kwenye kona ya bwawa hilo na
kumbananisha hapo kisha mikono yake ikashika kingo za ukuta wa
bwawa,alianza kumsugua ambapo Dudu lake lilizama lote na kutoka,Secilia
hakusikia maumivu wakati anagongeshwa kwenye ukuta,alichohisi ni utamu
tu kwenda mbele,,,,aaah,,
aaissssssss,,,aaaah,,,aaaiisss
s,,,aaaah,,mmmh,,ooooh,,,alilalamika kwa sauti kubwa Secilia tena kwa kujiachia hasa
Huku Getini japo Mlinzi aliambiwa asimfungulie mtu yeyote bila kutoa
taarifa kwa Secilia kwanza lakini kwa bahati mbaya au nzuri alijikuta
amemfungulia mdogo wake na Martin aliyekuja kwa miguu,alijulikana kama
Junior,basi aliingia ndani na kuita kila kona hakukuwa na mtu,hata
mfanyakazi hakuwepo,alipojaribu kuzunguka nyuma ya nyumba hiyo ndipo
alijionea maajabu,alimshuhudia shemeji yake akiliwa utamu na Didi ambapo
kwa sasa hivi walitoka ndani na kuhamia nje ya maji,Secilia alikuwa
ameinamishwa japo hakukunja magoti,Didi alikuwa nyuma yake akimsugua
hasa,,,vilio vya mahaba havikukauka kwa Secilia
,,,Shemeji,,!,una,,,,aiseee,nilikwambia tu kuna siku utanipa we si
ukabisha,,,aliongea hivyo Junior aliyekuwa anamtamani shemeji yake siku
nyingi sana na alishamtamkia kabisa,ikawa kesi kubwa mpaka kwa kaka yake
lakini leo amemfuma anafanywa matusi na Didi,na inasemekana kwa maelezo
ya Martini kwamba Junior ameathirika,,,Itaendelea
Unyama sana aloo
ReplyDelete