Tuesday, February 16, 2016

BREAKING NEWS !!!

Kwa wale waliokua wapenzi wa bongofreva nadhani watakua wanamfahamu msanii John Woka alikua akitamba na style au mtindo wake wa kurap kama mlevi, 
Alitamba na nyimbo kama UMASKINI HUU  , SHEMEJI  , WALIMU,  na nyingine nyingi alikua akiimba na mwanamziki mwenzake MJALUO  ,
taarifa iliotufikia inasemekana amefariki dunia katika hospitali ya muhimbili na msiba upo maeneo ya buguruni bungoni.Chanzo cha kifo chake ni kuripukiwa na gesi siku ya tarehe  14/02/2016

BWANA AMETOA NA BWANA AMETOA JINA LA BWANA LIIMIDIWE,  AMEN! !!

No comments:

Post a Comment